Msala, Kuna mtu anavua jezi namba 10 Yanga
TOLEO la jana Alhamisi tuliona jinsi mshambuliaji mpya wa Yanga, Said Ntibazonkiza maarufu kama Saido akielezea kwamba, bado ni mchezaji mwenye uwezo na wanaombeza watajua ubora wake uwanjani na sasa anaendelea kuelezea mambo mbalimbali akianza na kuelezea mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Burundi ulivyokuwa.,Read More
Comments (0)