
VINARA WA MABAO: Hadi leo Novemba 01, 2020 ikiwa imebaki mechi moja pekee kukamilisha raundi ya tisa, ni wachezaji 14 pekee wali…
VINARA WA MABAO: Hadi leo Novemba 01, 2020 ikiwa imebaki mechi moja pekee kukamilisha raundi ya tisa, ni wachezaji 14 pekee waliofunga angalau magoli matatu kwenye VPL na kinara wao ni yuleyule Prince Dube wa Azam FC.
,
Comments (0)