
Photos from SokaPlace’s post
️Oscar Mwajanga mshambuliaji hatari wa klabu ya @officialmbeyakwanzafc leo ameisaidia klabu yake kupata ushindi katika mchezo wao dhidi ya Kengold katika mwendelezo wa ligi daraja la kwanza
Mbeya kwanza wameibuka naushindi wa goli 2 kwa 0 dhidi ya Kengold iliyochini ya kocha Maka Mwalyisi
Oscar Mwajanga alijiunga na klabu ya Mbeya kwanza akitokea star inayoshiriki ligi daraja la pili Tanzania.
Kilala kheri @oscarmwajanga1
#sokaplaceupdates @fdl_tz
,
Comments (0)